Twinawe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 2,363
- 5,110
Nimewahi kua katika mahusiano na binti ambaye aliachana na mumewe.
Nilikuta yule jamaa alimwachia vitu vyake vingi kama TV,radio,kabati ,masofa ,radio kitanda na takataka kibao za ndani ikiwemo mavazi .
Kipindi hicho nilikua nayaanza maisha akanipa kama zaiwadi nivichukue,kiukweli niligoma kabisa kabisa jambo lililosababisha uhusiano wetu kuyumba.
Je, ni sahihi kurithi Mali za Ex wa mpenzi wako?
Nilikuta yule jamaa alimwachia vitu vyake vingi kama TV,radio,kabati ,masofa ,radio kitanda na takataka kibao za ndani ikiwemo mavazi .
Kipindi hicho nilikua nayaanza maisha akanipa kama zaiwadi nivichukue,kiukweli niligoma kabisa kabisa jambo lililosababisha uhusiano wetu kuyumba.
Je, ni sahihi kurithi Mali za Ex wa mpenzi wako?