kidambinya
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 1,190
- 1,728
Ok
Laki nne kabla ya kodi na pia kuna kamisheni kila ukifungua akaunti moja..nayo ni buku kwa kila akauntiNimeishanunua tayari, nitapambana sana. VP Maslahi yao yamekaaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofauti itakuwa ndogo sana, kumbuka bosi wa CRDB alikuwa NMB kwahiyo atakuwa anacopy tu ya kule na kuleta huku.Hii nimeambiwa ila ni ya NMB, CRDB hawajawahi kuifanya ndio mara ya kwanza, tusubiri tuone
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee! Niliapply hata cjaitwa. Sijui hata nimekosea wap! Maskini Mimi Mtoto wa Mkulima!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna ulipokosea,Aisee! Niliapply hata cjaitwa. Sijui hata nimekosea wap! Maskini Mimi Mtoto wa Mkulima!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna ulipokosea,
Sio kwamba kila alie apply angeitwa,
Subiri wakati wako bado,
Sio mbaya ukiendelea kumpiga tafu mzee wako Mkulima ili siku zisonge
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa crdb sijui..ila nmb niliwahi kupiga hizo mambo miaka kadhaa iliyopita..mshahara ulikuwa laki 4 kama gross,na commission ya elfu moja kwa kila account unayofungulia mteja.andaa kiatu chenye soli kubwa
nilifanya miezi mitatu nikapata sehemu ingine.Duuuh, vp ajira ya kudumu kaka, hukuihitaji au ndio ulipata shavu mahali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu mpo so lucky.nilifanya miezi mitatu nikapata sehemu ingine.
hamna mkuu..nikuchaprika tu