N nny Member Joined Aug 13, 2015 Posts 40 Reaction score 5 Oct 20, 2015 #1 nimechaguliwa udom naona direct fee sh 265000,,hii imejumuishwa nn na nn...ndio hostel,bima ya afya au..sielewi wandugu
nimechaguliwa udom naona direct fee sh 265000,,hii imejumuishwa nn na nn...ndio hostel,bima ya afya au..sielewi wandugu
Eliamini JF-Expert Member Joined Feb 4, 2012 Posts 616 Reaction score 738 Oct 20, 2015 #2 Hiyo ni ada ambayo unapaswa kulipa haiingiliani na michango mengine kama accomodation,udoso ama bima. Hiyo ni ile % iliyobakia ya mkopo wako ambayo ww unaichangia ktk tution fees
Hiyo ni ada ambayo unapaswa kulipa haiingiliani na michango mengine kama accomodation,udoso ama bima. Hiyo ni ile % iliyobakia ya mkopo wako ambayo ww unaichangia ktk tution fees
Lazaroj JF-Expert Member Joined Aug 10, 2015 Posts 1,451 Reaction score 1,051 Oct 20, 2015 #3 hizo ni gharama zote unazotakiwa kulipa ukitoa tution fee mfano udoso,nhif,kitambulisho nk
Ze Heby JF-Expert Member Joined Jun 22, 2011 Posts 5,795 Reaction score 6,442 Oct 21, 2015 #4 Umejuaje hizo direct fee?Chukua admission letter isome vizuri ina kila kitu humo
mgolozi One Member Joined Sep 16, 2015 Posts 34 Reaction score 2 Oct 21, 2015 #5 Lazaroj said: hizo ni gharama zote unazotakiwa kulipa ukitoa tution fee mfano udoso,nhif,kitambulisho nk Click to expand... hz nk ni zip, mm nasubir kuwa approved na chuo. admision latter cjafanikiwa kuipata na kipi kinachoendelea uko wakuu.
Lazaroj said: hizo ni gharama zote unazotakiwa kulipa ukitoa tution fee mfano udoso,nhif,kitambulisho nk Click to expand... hz nk ni zip, mm nasubir kuwa approved na chuo. admision latter cjafanikiwa kuipata na kipi kinachoendelea uko wakuu.
thomas_360 JF-Expert Member Joined Oct 11, 2015 Posts 1,458 Reaction score 1,436 Oct 21, 2015 #6 Kwa information zaidi check me #0652501314
thomas_360 JF-Expert Member Joined Oct 11, 2015 Posts 1,458 Reaction score 1,436 Oct 21, 2015 #7 Nipo udom mwaka wa pili bsc chemistry