Diplomat Amina Salum Ali


Unampa mtu credit kwa nafasi alizoshika? Na economic condition zilizoprevail? Bia ya kutuambia alifanya nini?

Ukiniambia Ngozi-Okonjo-Iweala anastahili a high international position, ukanipa academic profile yake na kutoa achievents zake kama ku negotiate kufutwa deni laNigeria, pamoja na msururu wa vitu alivyofanya nitasikiliza, lakini ukiniambia achievement yake ni kuwa Finance Minister wa Nigeria nitakuona either una m un dersell au hana achievement.

Vivyo hivyo kwa condition zilizo prevail chini yake ambazo for all that we know zinaweza kuwa zimeachwa na administration ya Shehu Shagari au Jakub Gowon kama siyo na Azikiwe au hata toka organizations za Chief Obafemi Awolowo.

Kwa hiyo onyesha alichofanya, siyo titles zake wala alicho oversee, which by the way could be better.
 

Shule ndogo kivipi? Huyo mama ana MBA!
 
Shule ndogo kivipi? Huyo mama ana MBA!

Shule as in elimu unaweza ku preservere na kupata desa ukapata hata PhD, lakini kama kazi yako mbovu, huji mawasiliano, unapotosha historia, hata lugha inakupiga chenga, huna decision making soundness unakuwa paper tiger, paper PhD na kinaweza kuja kibabu chenye life experience tu kikakutoa nishai.

Tukiongelea shule tuongelee matunda ya shule na kazi ya mtu, si ku flash paper credentials wakati tunajua enzi za cold war watu kibao wamepelekwa shule kiserikali serikali na vimemo va MOFA, hata huko mashuleni walikuwa wanajua hawa ni watu wa serikali ya Tanzania msiwape taabu.

Hivi mtu kama Dr. Salmin Amour na doctorate yake ya North Korea or some communist cocoon like that utafanya haki kumuita PhD yule?
 
Sasa nimeshaamini kuwa una chuki na wazanzibari!

Kama wazanzibari vilaza tusiwaseme? Mbona Dr. Bilal nuclear physicist watu dunia nzima wanamkubali hatumsemi kwamba kilaza?

Kama mtu amepata kazi kwa affirmative action ya uZanzibari bila ya kuwa na credentials anasemwa tu, haogopwi mtu kwa sababu mZanzibari, na hii jumpy inferiority complex uliyonayo inakuonyesha kuwa ukiwa attacked kitu cha kwanza ni ku play Uzanzibari card.

Huyo Kikwete tunayembonda kila siku humu Mzanzibari naye? Huyo Mkapa tunayemshambulia kila mawio katoka Unguja au Pemba? Hao kina Makamba na wazugaji wenziwe wametoka mji gani Zanzibar? Chenge na mafisadi wenzake tunaowalima kila siku wametoka wapi?

Usitake kufanya Uzanzibari ndiyo license ya mediocrity na idiocracy.
 
Last edited:


Kutoona tatizo ndio tatizo lenyewe, kwako, kwake na kwa watanzania wengi pia.
Siyo ushabiki, Amina ni mweupe, pe! Siyo lugha tu, ila kiwango chake cha kujadili hoja kiko chini mno.
 


Economy ya Zenji nillisha ongea iliku nzuri wakati wake kuliko sasa hivi ndo maana nampa credit p[amoja na mda mrefu wakazi za juu alizoshika inaonyesha alikua mahir kiasi gani huyu mama, nashule ameenda kama wengineo waliokuwepo UN

Wako wengi tu UN na org nyingi watu wako post za juu lakini hawana achievement za kuonyesha lakini bado wanaweza kua watendaji wazuri

Kutojiamini kwetu na kuzoea kutawaliwa na wengine kama vile wa-Nigeria nk ndo tunaoona wanastaili kushika nafasi hizo,

Kuna mbumbu wengi kwenye UN kuanzia katibu mkuu wao lakin sio huyu ma Amina.
Fungueni macho na msikilize interview za watu wengine ndo mtaona Amina nastaili kupewa hii nafasi,

ACHENI USHAMBA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…