Diploma ya pharmacy

Diploma ya pharmacy

f2rk

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2013
Posts
501
Reaction score
426
Kwa matokea haya kidato cha nne mwaka jana aweza kusoma diploma ya pharmacy?Physics-D,Chemistry-D,Biology-C,Basic Mathematics-B plus,History/kiswahili-C,Geography/English/Civics-D
 
wanahitaji C flat ktk biolojia,chemia na hesabu,fizikia uwe na D,nakushaur Uangalie Certificate Maana Wanahitaj D Flat
 
nimemaliza form four mwaka 2006 na nina c flat kwenye masomo yote,je naweza kua nimetimiza vigezo vya kuchaguliwa kusoma pharmacy?chuo gani ni kizuri kwa course hii? na gharama za ada inakuaje? naomba msaada wakuu
 
Private institutions hawana shida na mwaka uliomaliza but serikalini wanalimit ya muda.....ada ni zaidi ya milioni tatu mfano kcmc(kilimanjaro school of medicine) ni 3.92M per year. Asante BJ.Sahani kwa ushauri,nimefuatilia vyuo kadhaa wanasisitiza C tatu.........
 
Mi nilisoma sec ya ufundi ckusoma bios,bt form 6 nikapiga pcm, je naweza kusomapharmacy au dip in radiology
 
Mi nilisoma sec ya ufundi ckusoma bios,bt form 6 nikapiga pcm, je naweza kusomapharmacy au dip in radiology


Huwezi

Pharmacy inaundwa kwa kiasi kikubwa na biology na chemistry.
Kama hujasoma biology huna msingi wa kusoma kozi muhimu kama Pharmacology,Pharmacognosy etc
 
Kisha Utumie Diploma Ya Pharmacy Kusomea Degree Ya Medicine ( Udaktari) .....
Haa Haa Haaaa..... Nakutania Bhana! In Short Ni Kwamba Haiwezekani.
 
SSamahan wakubwa Naomben ushauri Nina
Chemistry _C
Biology_C
Physics_F
Mathe_D
English_C
Kiswhl_C
History_D
Civics_D
Geography_D

Nnatak nlisiti ili niweze kusoma
Clinical officer
Sasa hapa nlisiti masomo mangap!?
Au kwa matokeo haya naweza kusoma
Pharmacy!??
 
SSamahan wakubwa Naomben ushauri Nina
Chemistry _C
Biology_C
Physics_F
Mathe_D
English_C
Kiswhl_C
History_D
Civics_D
Geography_D

Nnatak nlisiti ili niweze kusoma
Clinical officer
Sasa hapa nlisiti masomo mangap!?
Au kwa matokeo haya naweza kusoma
Pharmacy!??

Phamacia unasoma vzr lakin clinical ngumu hapo phy imekuangusha
 
Phamacia unasoma vzr lakin clinical ngumu hapo phy imekuangusha
Hicho ki2 hakipo mkuu yaan sio pharmacy sio clinical medicine vyote lazima uwe na Phyz/engineering science D biology & chemistry C hapo ndo unapata diploma
 
Hicho ki2 hakipo mkuu yaan sio pharmacy sio clinical medicine vyote lazima uwe na Phyz/engineering science D biology & chemistry C hapo ndo unapata diploma
Jamaa kaona Pharmaceutical science kama ni nyepesi tu hata ukiwa na F ya physics unaenda..
 
Back
Top Bottom