Ni roho Mbaya Zao tu Hao TCU, hii ilikuwa ni Kazi ya NACTE lakini Wamejifanya Wao Ni Mahodari Na Wajuzi Hatimae Wanaishia Kutupiga Kalenda na Uongo Mwingi.
Ingelikuwa tunadahiliwa na hile hile NACTE yatu Mpendwa Yasingelikuwa Haya Kwa maana tungelikwisha Maliziana Zamani.
Shame on you TCU....
Kwa hali hii ya nchi, naona watu wengi wataanza kwenda Kenya, Uganda na Zambia kusoma. Maana apa mambo yashakuwa magumu kama kipindi kile Sekondari zilivyokuwa chache.
Nchi inaendeshwa hovyo hovyo hakuna hata wizara moja yenye afadhali, wengine wakiona hawana kazi wanaanza kufukuzana na dk mwaka, wengine wanawalaza watumishi kwenye mwenge...daaaah