Ni roho Mbaya Zao tu Hao TCU, hii ilikuwa ni Kazi ya NACTE lakini Wamejifanya Wao Ni Mahodari Na Wajuzi Hatimae Wanaishia Kutupiga Kalenda na Uongo Mwingi.
Ingelikuwa tunadahiliwa na hile hile NACTE yatu Mpendwa Yasingelikuwa Haya Kwa maana tungelikwisha Maliziana Zamani.
Shame on you TCU.... [emoji16][emoji16][emoji16]