Ni kweli wote inaitwa basic technician certificate na inasomwa na aliemaliza kidato cha nne mwenye kati ya division one mpaka three. Duration ni miaka miwili sio mitatu. Kwa maelezo zaidi crrtificate imebadilishwa gwanda ila ni ile ile kama chama kubwa. Ukimaliza hiyo utatakiwa kupiga kazi for not less tjan two yrs ndo urudi kwa diploma ambayo nayo itakutaka usome two yrs. Huyo ndo ndali anaboresha elimu kisawa sawa sio mdebwedo elimu ni fani kama zilivyo fani nyingine
Your welcome!!!