thomaskitomari
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 472
- 204
wakuu hii itatoka mda gani????????
HahaaaaaaaaNafananisha hili suala na USAJILI WA POGBA.
Hahahaha....mara yupo medical test mara agent mara duuuu.....umeua!Nafananisha hili suala na USAJILI WA POGBA.
Hahahaha....we kweli mnaa!Hapa ndio naona umuhim wa wa kuazima wataalam wa IT kutoka Rwanda
Nafananisha hili suala na USAJILI WA POGBA.
bora iwe hivyo kuliko ule usajili Wa Mavugo pale msimbazi.Mhhhh labda.......inahusianaje! Sijui!website yao inagoma kufunguka, nadhani ndo wanaupdate system.
website inakua inaccessible.Mhhhh labda.......inahusianaje! Sijui!
Nami naona hivyo.......tuendelee kusubiri kidogo!website inakua inaccessible.