kabla ya dini za Wazungu na Waasia watu walikuwa hawaoani ndugu kwa ndugu, wazee walifahamu mema na mabaya, japo walijisitiri kwa ngozi kulikuwa na maadali, kuheshimiana na magonjwa hayakuepo ya kijinga.
Ona leo hii kubakana kwingi, mapenzi ni hela , kusali ni hela na kama huna hela huna maana hata wanaoeneza dini hawakuziki, ubaguzi kwa kila kona, ukitaka huduma kwenye dini za kizungu hela.
Dini zetu za asili eti ni za kishenzi.
Sijajua mleta uzi unazungumzia dini zipi? Jibu niendeleze hoja haraka sana.