We IPILIMO,
Mifano yako mingi ni ya kuigiza ndio maana mpaka leo watu hawachangii uzi huu.
Maana unajichanganya kwenye maelezo yako,inaoneakana kama unafanya research ya biashara vile.
Hembu eleza.
-Dar-Mbeya-Dar ni km ngapi
-Na unatumia mafuta kiasi gani,
-Na je umeisajili kama gari ya Biashara
-Je umepewa kibali na sumatra kwa route hiyo kwa uwezo wa gari lako?
-Kutoka mbeya kuja Dar unaweza kupata Abiria kwa kupitia madalali kwa kuwa mbeya ni kwenu,je ikifika Dar kurudia huko inakuwaje kwenye kupata Abiria ndani ya siku moja
-Faida kiasi gani kama ikipata abira kamili kwa round trip
-Driver unamlipa kiasi gani kwa siku
Ni hayo tu,maana kama umeishaanza basi majibu yake ni mepesi sana