dilema plus stress.

dilema plus stress.

critic critical

New Member
Joined
Apr 25, 2013
Posts
1
Reaction score
0
nashindwa kuwa na msichana naempenda kisa jina la baba yake pia uwezo wake mkubwa wa kifedha (clara), nlkuwa nae kwa miez 6 lakini kila nikipita nanyooshewa kidole kuwa mm mwanaume km binti, kuona hvo nkamuacha, nikawa na mschana(maria) ambye nlkuwa nae kwa muda mrefu na ambaye watu wananisapoti kuwa nae, tatzo lnazuka hatukai kuelewana now adays na huyu msichana.. natamani kurudi kwa yule ila tatizo watu wananiona km parasite kwake, though ni mzuri kuliko nlie nae, lakn watu wanansema vbaya..
 
Unaangalia watu badala ya mahusiano yako, na kama utaendelea hivyo basi kila siku itakua ni stress tu kwako....its good to have strong decisions smtimz
 
Back
Top Bottom