Digitek

nash2010

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2010
Posts
624
Reaction score
216
bei 160,000.
channel 15
Malipo ya mwezi Hakuna Kwa sasa ni bure
Itakua bure milele NO
baadae malipo yatakuwaje "tuta wafahamisha"
Quality iko poa kuliko startimes ila sio, wala haikaribii High Definition.



 
Hakuna channel za moviez ?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mbona hizo Channels zote ni Free to Air!? Halafu Decoder yenyewe licha ya bei kuwa ni Mzigo kama zile Dec za VHS Miaka ile, wakati siku hizi kuna vitu MINI-MPEG4 DVB-S2 na Unapata Channels hizo free na kwa Bei ndogo tu ya Decoda!???? Sema kwa vile wananchi wengi hatuna uelewa wa Hivi vitu ndio maana tunaletewa na kununua vitu visivyo na thaman kulingana na hela yetu.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kazi ipo hiki sasa cha nne naenda kununua
 
Nimetoka kukinunua nina viwili sasa mwanangu akaniuliza baba:-sasa hicho ni kingamuzi party two?yaani kama picha za nigeria? Nikaachilia kukikonect huyo chumbani
 

Shida yako wewe unadhani kila mtu anahamahama kama wewe. Suala la kuwa portable halina mashiko kwani nikishaiweka hapo ilipo sina haja ya kuihamisha.
 
hawana jipya hao!wametoa promo kubwa karibu miezi 3!kumbe mambo yenyewe ndio yaho!karibia chanel zote hizo ni free to air!ngoja 2wasubili nao wa continental wanakuja kivipi.
 
Hivi mnafikiri watanzania wana hela ya kuchezea? Mmejikalia mpaka watu wameamua kutafuta hiyo Startimes(ingawa hawaipendi) halafu mnakuja na yaleyale ya Startimes tena na bei kuuubwa!

Mnategemea nini sasa, Kama hamjauziana wafanyakazi tu shauri yenu!
 
sijaona channel mpya tofauti na mwenye dish la kawaida anazipata for free
waaache usanii,nina easy tv nlinunua tangu 2008 hadi leo nainjoy sana ina channels nyingi zaidi ya hawa
waboreshe channels zao hakuna haja mwaanchi kulipia free channels on air.wizi mtupu
tunahitaji ingizo jipya katika decorder yao kama sports channels, movies,documentaris walau basi news channels kama BBC na CNN.
nadhani TCRA kama wakiwa makini hataruhusu wananchi kutozwa free channels.
 
uhu sasa ni usanii kabisa kwa watanzania yaani tumekua wakuvunwatu,ni kweli chanel hizi ni free to air lakini watanzania tunatozwa mihela na tcra,kimya kwa nini hawataki kutuwekea sports kama espn,tensports,abudhabi sports,wajanja awataki kulipia hizi chanels na kutuuzia cc,kwa sababu wanataka uvuna faida kubwa,bila kutupa chanels na vipindi bora,hakuna jipya bora kebo,au dstv,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…