DIGITALI: A NEW NEO COLONIALISM or LEADERSHIP FAILURER?

DIGITALI: A NEW NEO COLONIALISM or LEADERSHIP FAILURER?

maju

Senior Member
Joined
Oct 20, 2011
Posts
118
Reaction score
28
Nna king'amuzi cha dstv ila sipati local channel. Sielewi serikali ilimanisha kwamba sitakiwi kuona tv za kwetu ili niangalie za nje tuu au? Kama hivyo kweli huu si ndo ukoloni mamboleo wa kutubrain wash wa tz. Lini viongozi wetu wataweza kusimamia sera za nchi kwa maslahi yetu bila kuburuzwa na mabepari? Kuna uhusiano gani kupambana na umaskini na ving'amuzi? Huu ni wendawazimu.
 
Mbona watu wa Dar mnalalamika sana?Lipieni bhana!sie huku mikoani tunalipia cable kila mwezi na maisha yetu ni yakawaida sana!Kwanza ndio mnaoongoza kubeba mibendera ya kijani lakini kwa kulalamika mnakuwa wa kwanza.mf nauli ya kivuko kuongezwa kutoka mia hadi 200 mlipiga kelele hadi wabunge wenu wakati mtu anayeishi mkoani mf Nyakato Kahama unalipa sh.1500x2 kama nauli ya bodaboda kila siku kwenda kazini na kurudi ama ninyi ndiyo raia wa nchi hii zaidi kuliko wengine?
 
suala sio digital km umenunua kingamuzi cha dstv na bado unalalamikia local channel inaweza kuwa tatizo la tcra hawakutoa elimu ya kutosha. Yapo makampuni maalumu yaliosajiliwa kwa kigezo cha digital ili kuhudumia wananchi na yameingiza ving'amuzi ambavyo ni TING,STARTIMES NA SASA DIGTECH ,hawa ndio wa kuwalaumu iwapo hawaweki local channel. Dstv na Zuku wanafanya biashara kupitia setelite dishes na sio digital ya antenna
 
Nna king'amuzi cha dstv ila sipati local channel. Sielewi serikali ilimanisha kwamba sitakiwi kuona tv za kwetu ili niangalie za nje tuu au? Kama hivyo kweli huu si ndo ukoloni mamboleo wa kutubrain wash wa tz. Lini viongozi wetu wataweza kusimamia sera za nchi kwa maslahi yetu bila kuburuzwa na mabepari? Kuna uhusiano gani kupambana na umaskini na ving'amuzi? Huu ni wendawazimu.

sio kila kitu kuwapa lawama viongozi,ndio maana tukaumbwa na utashi wa kupambanua na kuamua.
Kabla ya kununua hicho king'amuzi ungeangalia demand yako iko wapi. Am not siding with the government so don't get it twisted.
My take kama unapenda local chanelz nunua na cha star times wana chanel kama 10.
 
DSTV ndio umeweka jana nn?
Kama ulikuwa nayo ulishajua kuwa hakuna local channels zaidi ya TBC1, sijaelewa unacholalamikia
 
Back
Top Bottom