baada ya kuona imegoma kufanya kazi nika conect na pc nika scan virus nikakuta kuna virus nika clean bado ikagoma ndio nikaformat kwa kujua nikiweka ma file mengine ya qur-an itafanya kazi kumbe sivyo kila nikiwasha inasema data not found inaonekana kuna software au operating system inayo hitajika ambayo ina kila kitu ndani