DIGA DIGA Vs BOSCO COOL J NDANI YA ISUMBA LOUNGE LEO!!!

MTAZAMO

Platinum Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
20,111
Reaction score
35,484
Kwa wale wa zamani kidogo wanafahamu hawa ni moja wa madansa wenye heshima kubwa.
Leo ndani ya Isumba lounge zamani Jolly Club patakuwa na mpambano kati ya wakongwe hawa wa disko.
Kamakawa kwenye machine DJ JD, DJ FAST EDDY na DJ YOUNG KELVIN watahakikisha hukai hata sekunde.

Kwa hisani ya MTAZAMO karibuni sana.
 
Last edited by a moderator:
Hawa ni wapinzani longtime ngoja tuone labda ubishi utaisha leo.

RIP mkali wao Black Moses
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…