yuleeeeeeeee Simba anachanja mbuga,ila sishangai sn coz alishasema this time ni kutoboa South to America!
kila jambo huendana na nia na Mungu anakupa kulingana na nia yko,ila penye nia pana njia pia...nahc dhamira zake zitatimia muda si mrefu.
Mungu amsaidie km utashi wa nafc yake unavohitaji.