Diamond Platnumz apata "likes" na "follows" million mbili katika ukurasa wake wa FACEBOOK

Freelancer Wakala

JF-Expert Member
Feb 6, 2016
1,193
825
HONGERA Platnumz kwa kupata "likes" na "follows" Million Mbili katika ukurasa wake wa "FACEBOOK"

ed0e7e2a2845051e706f30e5f9a2ec47.jpg
 
Hii sio habari ya kusisimua.

Nakushauri siku nyingine usiweke habari za kipuuzi puuzi namna Hii eboooooo
 
Vijitu vitajibu shombo kama vile havi jui mond ni rais wa bongo flava viva mondi vivaaa mondiiii
 
Huyu analeta upuuzi wa facebook!!

Habari yrnyewe mbaayaa wala haisisimui!!!!
 
Rolls royce Musician
Hivi alikuwa na ndoto za kununua hiyo gari tangu kitambo au
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Rolls royce Musician
Hivi alikuwa na ndoto za kununua hiyo gari tangu kitambo au
Sana, dogo dream yake ya kuja kumiliki RR aliiweka wazi miaka mingi iliyopita na wananzengo walimcheka na kumkebehi sana.
When you set your goals just focus and don't get distracted by bystanders, some stupid haters will mock, laugh and ridicule you trying to distract you from achieving those goals.
Dogo Sadala kapambana lakini the crazy shit is kuna watu from their opinions ni kama wamechukizwa kwa kitendo chake cha kufanikisha kununua hiyo Rolls-Royce.
 
Sana, dogo dream yake ya kuja kumiliki RR aliiweka wazi miaka mingi iliyopita na wananzengo walimcheka na kumkebehi sana.
When you set your goals just focus and don't get distracted by bystanders, some stupid haters will mock, laugh and ridicule you trying to distract you from achieving those goals.
Dogo Sadala kapambana lakini the crazy shit is kuna watu from their opinions ni kama wamechukizwa kwa kitendo chake cha kufanikisha kununua hiyo Rolls-Royce.
Basi hongera yake kwa kuifikia ndoto.
 
Sana, dogo dream yake ya kuja kumiliki RR aliiweka wazi miaka mingi iliyopita na wananzengo walimcheka na kumkebehi sana.
When you set your goals just focus and don't get distracted by bystanders, some stupid haters will mock, laugh and ridicule you trying to distract you from achieving those goals.
Dogo Sadala kapambana lakini the crazy shit is kuna watu from their opinions ni kama wamechukizwa kwa kitendo chake cha kufanikisha kununua hiyo Rolls-Royce.
Wewe ndio umechukizwa maana si kwa povu hili.....
 
Back
Top Bottom