Diamond Platinum "atembelea" kwao Tandale,afanya shooting nyumba aliyokulia

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,726
32,818
image.jpeg
"Hapa ndipo palikuwa nyumbani kwetu Tandale nilipozaliwa kulelewa na kujifunzia Muziki hadi leo kufikia hapa.... napaHeshimu, Napapenda, napathamini na Daima hata niende wapi lazima nirudi maana nikiwa hapa nasikia faraja na amani ya moyo... Mwanzo palikuwa hivi #HomeSweetHome #Before
 
View attachment 347574 "Hapa ndipo palikuwa nyumbani kwetu Tandale nilipozaliwa kulelewa na kujifunzia Muziki hadi leo kufikia hapa.... napaHeshimu, Napapenda, napathamini na Daima hata niende wapi lazima nirudi maana nikiwa hapa nasikia faraja na amani ya moyo... Mwanzo palikuwa hivi #HomeSweetHome #Before
Good memory
 
Hii habari ya lini ? Mbona kuna picha zinaonyesha hiyo nyumba imesha karabatiwa ?
 
Nadhani ni kipindi kile anashoot je utanipenda ndio akachukua na baadhi ya vipande hapo
 
Nyumba kaifanyia renovation.. Kasema picha za before and after...rudi uje na umbea kamili
 
Tatizo kijana Anahudumia kijiji!!!!! Watu wengi kama yupo kwenye Show! Nimeona hapo pakiwa pamekarabatiwa pazuri
 
from Zero to Hero....muda mwingine ushabiki pembeni jamaa anajituma mno aiseeee
 
Soma kwa utaratibu hilo bandiko usikimbie kimbie, mwishoni ndo pamefichwa ulichouliza !!
Nani kakimbia kimbia ? Habari inasema Diamond katembelea Tandale na ku shoot video imeletwa leo ,halafu mwishoni kuna hash tag before, kosa langu lipi kuuliza hii habari ni ya lini ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom