Diamond kuachia ngoma mpya BET

el nino

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2013
Posts
4,712
Reaction score
5,072


Toka mwanzoni mwa wiki hii Diamond Platnumz na crew yake wamekuwa waki-tease vitu kwa mafumbo kuashiria kuna kitu kikubwa kinakuja.

Diamond-Platnumz Kupitia Instagram Diamond ameshare fomu inayoonesha kuwa ameituma video ya collabo yake na Mr. Flavour iitwayo Nana kwenye kituo cha Runinga cha kimataifa BET International.

Katika fomu hiyo inaonesha kuwa video hiyo iliyoongozwa na Godfather inatarajiwa kutoa May 29, 2015. diamond bet Lakini pamoja na kutease fomu hiyo bado uongozi wake unasema kuwa Ijumaa hii ndio wataweka wazi ni wimbo gani anaotaka kuachia, lakini ni collabo ya kimataifa.

Vitu vyote tutasema kwa wananchi wetu Ijumaa, mashabiki wa Diamond mashabiki wa WCB wasubirie mpaka Ijumaa tutaanza rasmi kusema kama ni wimbo ambao tuna release Diamond featuring Flavour au Featuring P-Square au msanii wa Marekani. Alisema Babu Tale kupitia Sammisago.com


Chanzo: Bongo5
 
Mimi nimesha mpigia kura diamond, wewe je?
Kama bado piga sasa.
 

Attachments

  • 1432791521912.jpg
    47.8 KB · Views: 213
  • 1432791553546.jpg
    55.9 KB · Views: 208
  • 1432791596756.jpg
    48.7 KB · Views: 197
  • 1432791654382.jpg
    51.6 KB · Views: 202
Unaweza Submit na ikakataliwa jamanj
 
Intaneshinale 😉
 

Attachments

  • 1432797521226.jpg
    23 KB · Views: 197
  • 1432797553057.jpg
    21.4 KB · Views: 179
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…