Diamond atia aibu nchini uingereza.....

Herbalist Dr MziziMkavu

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,071
Reaction score
34,840
Mtanzania ambaye kwa sasa ni raia wa Uingereza na anayechezea klabu ya Chelsea, Adam Nditi ameiponda show ya Diamond mjini Reading nchini humo na kudai ilikuwa ni aibu tupu.

“Diamond jana manyago aibu tupu waswahili lazima tubadilike it’s embarrassing,” ametweet.


“Hajafanya jambo lolote ila shoo ilikuwa very unprofessional kwenye tangazo walisema inaanza saa 3 usiku jamaa amefika saa 1 asubuhi.”


“Jukwaa lilikuwa ovyo kama vile watu hawajalipa kumuuona mmoja Wa wasani wanaotamba bongo nyimbo zilikuwa zinapigwa redioni alikuwa haimbi.”

Kwa sasa Diamond yupo ziarani nchini Uingereza.

chanzo.
DIAMOND ATIA AIBU NCHINI UINGEREZA..... - MPEKUZI HURU
 
huyo adam nditi alitegemea mambo makubwa kutoka kwa wasanii wa kibongo? amechemsha
 
Diamond kaanza kulewa sifa. Amuulize Mr Nice.
 
Ilisha jadiliwa jana hii
 
Na yeye mwenyewe analaumu eti watanzania tuache kukwazana na wivu,hivi kuambiwa ukweli nacho kikwazo eeh? Show yenyewe wamefunga mtaa ndo wakaandaa haina ilikua haina tofauti na disco vumbi,Domo bhana
 
Ukimshangaa Diamond mimi nitakushangaa wewe.

"Mtanzania ambaye sasa ni raia wa Uingereza".

Mtanzania kwa vipi? Tanzania inaruhusu "dual nationality" na Uingereza kwa huyu mtu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…