Hii picha haijafanyiwa editing bali ni really Maana nilimsikia huyo msanii aliye na Lina na Diamond akihojiwa na Fetty live yy akiwa Iringa alikubali kuwa ni Kweli but hakuna Mambo ya malove yanahappen Kwao na Diamond bali walienda kula goodtime tu na mpigapicha alifotoa kabla hawajajiandaa na kuwa iliwekwa BBM but imesambaa accidentally
REAL NO PHOTOSHOP
Kila kitu, ie Ugoko, wahusika na real