DISGUISE16
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 372
- 259
Mbona Dai alishasema KAMSAMEHE kitambo! Hanaga tena chuki naye, yalishamwishia mavi ya kale hayanuki!Kusamehe ni muhimu lkn asilazishwe yeye ndie anaejua shida alizopata na mama yake.Huyo baba angekua mtu wa kujirudi angerudi wkt kijana anasota leo anajianika kwenye TV kwa sbb kijana kapata.Wapo wanaume wanafanya haya hat leo inauma acha tu, mie namsapoti huyo mama na mwanae asilimia mia huyo baba hakujua alikua anaudhalilisha mgodi wa dhahabu.akubali kuisoma tu.