Namkubali saana Platinum, ila kwa alilofanya sio vyema. Wema hakumuomba chochote zaidi ya kuappreciate wimbo alokuwa akiiamba Diamondi. Iyo concert kafanya ili apate mpunga, na mpunga wenyewe ndo alokuwa akipewa, Tubadilike jamani.
Life goes on Wema, no matter what happens