Diamomd Platnamz rasmi team Magufili

Diamomd Platnamz rasmi team Magufili

mzeewajiji

Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
18
Reaction score
16
Ni tarehe 23 mwez huu 2015
Uzinduz wa kampen pale jangwani
Kijana nasibu pamoja na wasani kibao watakuwepo
Huku upande wa pili
Prof j,wagos wa kaya,sugu,nature ,msaga sumu na bongo movie wachache kama wolper na anti ezekiel watakua upande wa ukawa
 
We angalia tu hata watu waloitwa hapoo...wote vurugu tu hamna kitu check watu na heshima zao akina prof j,wagosi wa kaya,nature,sugu na wengne hapo kati chembe kidevu lazima ukaee!
 
Hapo DIAMOND lazima atakuwa kavuta pesa ndefu nyinyi bakini na chuki zenu za kisiasa.
 
PROF J ni mbunge mtarajiwa,domonde ni mkata viuno wa kudumu,soon diamonde ataanza kumtambua profesa kama MHESHIMIWA!!
 
kwani diamond nalipijipya la kujivun toka kwa vijana watafutaji..!!upande wapili haondio unagusa vijana wengi watafutaji,wanamapinduzi,wanaharakati na wenye uchungu na unyonyaji wa ccm..Diamond hawez kuwatosa waliokuwa wanambebesh unga
 
Angalia wasanii wa ukawa vizuri huwez kuwafananisha na diamond hasa kwenye kampeni za siasa! !
 
Back
Top Bottom