wakwatito
Member
- Apr 15, 2018
- 30
- 49
Hebu Jifunze kumuheshimu kila mmoja pasipo Kujali umri au Cheo alichonacho kwasababu Unaweza ukahisi umefanikiwa Sana kwenye maisha yako lakini Kumbe bado mno nakwambia hivyo kwasababu hauwezi kufanikiwa katika kila kitu,
๐๐๐๐๐ง๐ข๐ค๐ข๐จ ๐ฒ๐ mtu huwa yanapimwa kwa namna kuu nne (4)
Moja wapo ni Imani,
Mbili ni Fedha (Mali),
Tatu ni Elimu (Taaluma)
Mwisho kabisa ni Umaarufu (Kujulikana).
Sasa ajabu ni kwamba Unaweza Ukawa na pesa lakini usiwe na Imani ,
Unaweza Ukawa maarufu lakini usiwe na pesa au ukawa na elimu kuuubwa lakini usiwe na pesa ya kutosha kwahiyo Usipotoshwe na Fedha ukidhani ndiyo kipimo pekee Cha mafanikio ya mtu kwasababu kuwa na Afya njema pia nayo ni mafanikio tosha.
Sikiliza nikwambie hata wewe una kila sababu ya kufanikiwa kwenye maisha yako Tena sana tu Sema Tatizo unajidharau na umejisahau Sana.
Hakuna Shaka Tena juu ya Nini MTU anapaswa Kufanya ili afanikiwe kwani Siri imefichuka (Mambo yapo wazi).
๐๐๐ฒ๐ ๐ง๐๐ข๐ฒ๐จ ๐๐๐ฆ๐๐จ ๐ค๐ฎ๐ฎ 9 ๐๐ฆ๐๐๐ฒ๐จ ๐ฎ๐ง๐๐ฉ๐๐ฌ๐ฐ๐ ๐ค๐ฎ๐ฒ๐๐๐๐ง๐ฒ๐ ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฎ๐๐๐ง๐ข๐ค๐ข๐ฐ๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฏ๐ข๐ฐ๐๐ง๐ ๐จ ๐ฏ๐ข๐ค๐ฎ๐๐ฐa
1. Lifahamu Kusudi lako.
2. Chagua Jambo Moja (Niche)
3. Tafuta Maarifa/Knowledge.
4. Tafuta Msimamizi/Mentor.
5. Weka Malengo/Lengo.
6. Gharamia malengo yako
7. Tekeleza kwa dhati.
8. Vumilia na Subiria.
9. Fanikiwa zaidi.
Ukifanya Mambo hayo 9 kwa uaminifu kabisa Basi ni wazi mafanikio yatakuwa sehemu ya Maisha yako na Utashangaa. Swali ni je Wewe unataka kufanikiwa katika Nini ? Na lini unataka uwe umefanikiwa ?
๐๐๐ญ๐ ๐ฐ๐๐ฐ๐ ๐๐ง๐๐ฐ๐๐ณ๐ ๐ค๐ฎ๐๐๐ง๐ข๐ค๐ข๐ฐ๐ ๐๐ข๐๐ฆ๐ข๐ง๐ข.
Bila shaka unaweza ukawa bado Upo njia panda (Dilemma) hujui Nini ufanye na una Hofu (WOGA) umri unazidi kusogea na hujafanya chochote na pengine bado unaishi kwa watu au umeishi nyumba za kupanga kwa muda mrefu na hujajenga hata kijijini kwenu,huna biashara yoyote Ila Una pesa ya kutumia (Starehe) au Unaamka asubuhi ili ulale usiku na pengine Upo upo tu hujielewi kabisa unashinda ukiangalia series au Movie kila siku.
Usiogope kila kitu kitakuwa sawa.
Kwani bado hujachelewa kuamua.
Kumbuka: Mafanikio ni Gharama.
๐๐๐๐๐ง๐ข๐ค๐ข๐จ ๐ฒ๐ mtu huwa yanapimwa kwa namna kuu nne (4)
Moja wapo ni Imani,
Mbili ni Fedha (Mali),
Tatu ni Elimu (Taaluma)
Mwisho kabisa ni Umaarufu (Kujulikana).
Sasa ajabu ni kwamba Unaweza Ukawa na pesa lakini usiwe na Imani ,
Unaweza Ukawa maarufu lakini usiwe na pesa au ukawa na elimu kuuubwa lakini usiwe na pesa ya kutosha kwahiyo Usipotoshwe na Fedha ukidhani ndiyo kipimo pekee Cha mafanikio ya mtu kwasababu kuwa na Afya njema pia nayo ni mafanikio tosha.
Sikiliza nikwambie hata wewe una kila sababu ya kufanikiwa kwenye maisha yako Tena sana tu Sema Tatizo unajidharau na umejisahau Sana.
Hakuna Shaka Tena juu ya Nini MTU anapaswa Kufanya ili afanikiwe kwani Siri imefichuka (Mambo yapo wazi).
๐๐๐ฒ๐ ๐ง๐๐ข๐ฒ๐จ ๐๐๐ฆ๐๐จ ๐ค๐ฎ๐ฎ 9 ๐๐ฆ๐๐๐ฒ๐จ ๐ฎ๐ง๐๐ฉ๐๐ฌ๐ฐ๐ ๐ค๐ฎ๐ฒ๐๐๐๐ง๐ฒ๐ ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฎ๐๐๐ง๐ข๐ค๐ข๐ฐ๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฏ๐ข๐ฐ๐๐ง๐ ๐จ ๐ฏ๐ข๐ค๐ฎ๐๐ฐa
1. Lifahamu Kusudi lako.
2. Chagua Jambo Moja (Niche)
3. Tafuta Maarifa/Knowledge.
4. Tafuta Msimamizi/Mentor.
5. Weka Malengo/Lengo.
6. Gharamia malengo yako
7. Tekeleza kwa dhati.
8. Vumilia na Subiria.
9. Fanikiwa zaidi.
Ukifanya Mambo hayo 9 kwa uaminifu kabisa Basi ni wazi mafanikio yatakuwa sehemu ya Maisha yako na Utashangaa. Swali ni je Wewe unataka kufanikiwa katika Nini ? Na lini unataka uwe umefanikiwa ?
๐๐๐ญ๐ ๐ฐ๐๐ฐ๐ ๐๐ง๐๐ฐ๐๐ณ๐ ๐ค๐ฎ๐๐๐ง๐ข๐ค๐ข๐ฐ๐ ๐๐ข๐๐ฆ๐ข๐ง๐ข.
Bila shaka unaweza ukawa bado Upo njia panda (Dilemma) hujui Nini ufanye na una Hofu (WOGA) umri unazidi kusogea na hujafanya chochote na pengine bado unaishi kwa watu au umeishi nyumba za kupanga kwa muda mrefu na hujajenga hata kijijini kwenu,huna biashara yoyote Ila Una pesa ya kutumia (Starehe) au Unaamka asubuhi ili ulale usiku na pengine Upo upo tu hujielewi kabisa unashinda ukiangalia series au Movie kila siku.
Usiogope kila kitu kitakuwa sawa.
Kwani bado hujachelewa kuamua.
Kumbuka: Mafanikio ni Gharama.