Wapo wengi tu na mimi ni mmoja wapo, nimeitunza bikira yangu ikiwa ni zawadi kwa mke wangu mtarajiwa ambaye tutafunga nae ndoa mwezi wa 7,kutunza bikira kwa maisha haya sio mchezo kuna vishawishi vingi sana, mimi hapa nilipo na karibia kuchanganyikiwa kutokana na vishawishi navyo vipata toka kwa mabinti na mijimama!....
Nimefurahi sana kufahamu kumbe Mjengwa ni Mdada!