Dhana ya Bikira

heeee !!!



uswahilini kuna vituko we acha..
hiyo gesti ilikuwa uswazi,na watu wa huko ndo ilikuwa staili yao.
nilikuja stuka katikati ya shughuli,kuacha siwezi,kuenndelea siwezi.
 
Ni vizuri kujiuliza beyond jina Bikra lenyewe. Ni nn maana ya kuwa bikra. Kwangu mimi BIKRA ni ukamilifu, ni zaidi ya vagina-muscles ambazo wengi tunadhani ndiyo heshima yenyewe. Mi naamini kuwa mtu anaweza kuwa bikra in terms of muscles lakini akili, upendo, ustaarabu, kujitambua, kazi na mambo mengine muhimu akakosa....sasa ubikra wake hausaidii kitu.
Kwa hiyo kuwa bikra au kutokuwa bikra sioni ikiwa ni valid argument for marriage. You shouldn't major in minors.
 

Hujawahi piga nyeto?
 
Me nnayo ila ya sehemu moja...sijui nyinyi mnayoiongelea ni ipi hiyo??!!

mnhhh interesting...kumbe we mtundu hivyo? ya wapi hiyo?una mpango wa kumzawadia mtu?
 
Nimependa sana hii mada.
kwa kweli kwa binti kujitunza inawezekana had kuolewa.
kinacho hitajika ni kuwa na hofu ya Mungu.
na malezi bora kwa wakati yatasababisha kujitambua.
 
Wengine tuliwatoa kipindi kile cha michezo ya baba na mama aisee!
 
Hizi mada za miaka majuzi za kuhusu bikra mbona zinafukunyuliwa kwa kasi sana?
 
Sory jamani inabidi wasichana wenzangu tutambue thamani zetu, hii mada ni nzuri sana kuwa bikra kuna raha yake sana, kwa upande wangu mimi nimefanikiwa kujitunza hadi leo nasi kwamba nilikuwa sipati vishawishi lakini nilimuomba sana mungu aniepusha na hivyo vishawishi, nimeachana na wanaume na kitu kikubwa niwao kutaka mapenzi kabla ya ndoa, yupo aliyejifanya atanivumilia lakini kumbe ni muongo anafanya na wasichana wengine nikaamua kuachana nae nabado ninaendelea kumuomba mungu anipe mwanaume ambaye atatambua thamani yang.
 
Huko wanakotoa vyeti wangewapa na wanaume pia na asiyekuwa nacho hakuna kuoa...waache gender imbalance mfyuuuuuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…