Desktop ipo sokoni kwa 130000/= tu

Desktop ipo sokoni kwa 130000/= tu

memory card

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2013
Posts
259
Reaction score
166
Monitor ya dell 19" ,cpu aina ya ibm,756 RAM, hard disk 20 gb, ( monitor tupu 70000/= na cpu tupu ni 60000/=) nakupa vga,power cable zote na wireless panya.linafaa sana kama huna mambo mengi kama mimi uzuri wa hii cpu unatia hata kwenye begi la mgongoni unaondoka.
IMG_20181202_105858.jpeg
IMG_20181202_104916.jpeg
IMG_20181202_111517.jpeg
IMG_20181202_111559.jpeg
IMG_20181202_111619.jpeg
IMG_20181202_111532.jpeg
 
nimesahau namba hiyo 0654815422 dar es salaam
 
Bei kubwa Hiyo kulingana na chombo yenyewe. Kama utapunguza itapendeza sana
 
Duuu..mzeebaba! Huo mzigo ume2mika sana. Punguza bei ...70k vepe??
 
Back
Top Bottom