memory card
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 259
- 166
Monitor ya dell 19" ,cpu aina ya ibm,756 RAM, hard disk 20 gb, ( monitor tupu 70000/= na cpu tupu ni 60000/=) nakupa vga,power cable zote na wireless panya.linafaa sana kama huna mambo mengi kama mimi uzuri wa hii cpu unatia hata kwenye begi la mgongoni unaondoka.