mtanga255
Member
- Sep 25, 2017
- 36
- 19
Amani ya bwana iwe nanyi wote.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 mwenye elimu ya kidato cha 4 na kupitia mafunzo ya kozi ya udereva na Computer.
Ombi langu kwenu wana jamvi naomba msaada wa kazi tajwa hapo juu nina uzoefu nazo takribani mwaka wa tatu sasa leseni yangu ina madaraja A.A2.B.C1.C2.C3.D.E niko tayari kufanya kazi mkoa wowote pia naruhusu ushauri au wazo la aina yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 mwenye elimu ya kidato cha 4 na kupitia mafunzo ya kozi ya udereva na Computer.
Ombi langu kwenu wana jamvi naomba msaada wa kazi tajwa hapo juu nina uzoefu nazo takribani mwaka wa tatu sasa leseni yangu ina madaraja A.A2.B.C1.C2.C3.D.E niko tayari kufanya kazi mkoa wowote pia naruhusu ushauri au wazo la aina yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app