BOFREE
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 1,056
- 1,446
Anaitajika dereva mzoefu wa kuendesha magali ya mitandaoni yaani Uber na Bolt gari ipo inausajili kila kitu kiko sawa lesen ya latra (raid hailing) , card ya gari ni biashara, bima ni ya biashara gari ina CC 1490
Vigezo na masharti
1. Uwe mkazi wa karibu na maeneo haya manzese, magomeni , kigogo ,mabibo,mburahati
2. Uwe na familia yaani mke, watoto au ndugu
3. Uwe na uzoefu usiopungua mwaka 1 bila kusababisha ajali
4. Hati ya tabia njema
5. Uwe na leseni yoyote kati ya izi C,C1,C2,C3
6. Malipo kwa wiki ya tajiri ni 150,000
7. Uwe unauwezo wa kutunza gari vizuri
8. uwe na account active ya uber au bolt
9 .namba za simu sijaweka maana wanaotafuta kazi ni wengi itakua ni shida kila mtu kunitafuta kama unakizi vigezo weka namba yako nitakupigia kwa maswali
Vigezo na masharti
1. Uwe mkazi wa karibu na maeneo haya manzese, magomeni , kigogo ,mabibo,mburahati
2. Uwe na familia yaani mke, watoto au ndugu
3. Uwe na uzoefu usiopungua mwaka 1 bila kusababisha ajali
4. Hati ya tabia njema
5. Uwe na leseni yoyote kati ya izi C,C1,C2,C3
6. Malipo kwa wiki ya tajiri ni 150,000
7. Uwe unauwezo wa kutunza gari vizuri
8. uwe na account active ya uber au bolt
9 .namba za simu sijaweka maana wanaotafuta kazi ni wengi itakua ni shida kila mtu kunitafuta kama unakizi vigezo weka namba yako nitakupigia kwa maswali