Dereva wa Uber anahitajika

Dereva wa Uber anahitajika

nyamkuta

Senior Member
Joined
Mar 17, 2017
Posts
126
Reaction score
96
Wakuu anahitajika dereva,apewe gari IST kwa ajili ya Uber.
Vigezo:-
1.Awe na uzoefu wa udereva hasa wa taxi au Uber
2. Awe na Leseni ya udereva daraja C.
3. Kitambulisho cha taifa.a
4. Asiwe mlevi.
5. Awe na heshima na mtanashati.

Mambo mengine tutazungumza zaidi.

Aliye tayari ani PM.

Shukrani
 
nakushauri tu kishkaji.. uber itakulipa ukiendesha mwenyewe... ukisema ugawane na dereva haitakulipa hata kidogo....

naongea kwa experience nilikuwa na gari 3 uber... japo kushindwa kwangu isikurudishe nyuma.. ila ushauri tu
 
Ujue watu wanashndwa kuelewa hii biashara sis tuna company inayosimamia hiz gar changamoto kubwa ni uber wenyewe na wamiliki kukurupuka na story za mtaani bla kufanya research mtu anakuretea gari anakwambia nimesikia naweza pata Laki kwa Siku ad unachoka kabisa mda mwingine unataman kwenda wa register wao wenyewe waendeshe ata siku 2 alafu walete mrejesho ndio mkae mezan sasa muongee sasa

Mambo yamebadlika jaman gar zimekua nyingi %ya uber aishuki ipo pale pale awa wengine akina taxfy wapo vizuri lkn awana wateja na ujinga wa uber wataka kuingiz na bajaj kaz kweli kweli
 
Ujue watu wanashndwa kuelewa hii biashara sis tuna company inayosimamia hiz gar changamoto kubwa ni uber wenyewe na wamiliki kukurupuka na story za mtaani bla kufanya research mtu anakuretea gari anakwambia nimesikia naweza pata Laki kwa Siku ad unachoka kabisa mda mwingine unataman kwenda wa register wao wenyewe waendeshe ata siku 2 alafu walete mrejesho ndio mkae mezan sasa muongee sasa

Mambo yamebadlika jaman gar zimekua nyingi %ya uber aishuki ipo pale pale awa wengine akina taxfy wapo vizuri lkn awana wateja na ujinga wa uber wataka kuingiz na bajaj kaz kweli kweli
Hahaha. Wanakurupuka na stori za mtaani bila kufanya research
 
Wanasababisha madereva wao kukimbia Magari nakuwaachia madeni uber + traffic notification
Inamaana Uber hailipi kama inavyoelezwa?

kuna mtu humu jf alitoa mrejesho kuwa anauwezo wa kupata kati ya ef 60 hadi lak 1 kwa siku. Ilinivutia sana kiasi kwamba niko kwenye mchakato wa kupata gari kwajili ya hiyo kaz

tafadhali nipe uzoefu wako kwenye swala la mapato ya Uber kama mtu ataamua kuifanya kwa gari yake mwenyewe

natanguliza shukrani
 
Wakati ule wakati uber inaingia ndio watu walipga ela Sio sasa gari zimekua nyingi na hao uber ni selfish sana Mzee ingia ujionee sisi wenyewe kupata ela lazima tucheze rafu ndio mambo yanaenda
 
WATU WANALALAMIKA FAIDA HAKUNA..... uber wakate yao.. dereva akate yake... bado mafuta hujakata.. bado TRAFFIC hawajakata yao.. kwa kila safari unayoifanya... bado navyoskia ni kuwa UBER gharam wanayoiweka TARGET huwa ni ndogo kwa upande wa faida ya dereva.. sas wakija kukata asilimia zao ndio wanamaliza kazi
 
mi sio mlevi ila mnywaji,
vipi nafaa na vigezo vingine vyote nnavyo
 
Back
Top Bottom