siyo lazma awe yeye ana nyumba yakumiliki angalao anakaa kwenye nyumba ya kumiliki na ndugu zake
Mimi kama mimi nikipunguza 230 mwisho yangu huwa najua bajaji anapata zaidi yangu inategemea na wateja na uzoefu wa dereva kwa wateja hasa hupati atakeye kupa ofa hii ya bajaji
Kama ndo hivo basi mwisho yangu 200 kwa wiki iko fixed na mtu nitampata tu manake akitimiza dereva mwaka moja na nusu nitanunua tena alafu yeye dereva anaweza kuuza au ampe mtu mwengine afanyie kazi na yeye bado atafaidika kwangu kunfanye kazi kwangu tena na ofa hilo hilo akitaka
labda kwa huku tunduma,inawezekana,sababu daladala hazitumiki huku na hisabu ya bajaji kwa siku ni tsh,30000
Mimi kama mimi nikipunguza 230 mwisho yangu huwa najua bajaji anapata zaidi yangu inategemea na wateja na uzoefu wa dereva kwa wateja hasa hupati atakeye kupa ofa hii ya bajaji