dereva.mbishi

Yahabib_1

Member
Joined
May 27, 2011
Posts
14
Reaction score
0
madereva.wawili.walikutana.ktkt.ya.daraja.na.mmoja.wao.alikua.gari.lake.limejaa.mzigo.akamuomba.mwenzake.arudishe.gari.nyuma.lakini.alifanya.kama.hamsikii.na.ndio.kwanza.akatoa.kitabu.akawa.anasoma.yule.dereva.mwenye.mzigo.akashuka.akamfata.na.kumwambia.samahani.ukimaliza.na.mimi.naomba.uniazime.braza
 
Hahaaahaahaaa! Walikutana vidume, unakumbuka ile aliyetoa pesa bandia na yeye akauziwa cheni bandia, hapo jino kwa jino.
 

aisee, kuandika kwako ni shida, hebu rudi shule
 
Hii imetumwa kwa mobile phone

so what? Mbona tunaotumia mobile humu ndani tupo wengi sana lakini hatuweki hizo nukta?
Ina maana hata kutumia simu yako hujui, hadi unashindwa kuweka space?
 
Kikubwa ujumbe umefika, what is writting bana!!:mod:
 
hahahahaaa nahisi walikesha. Kama ni mimi ningetoa biblia yangu na kuanza kuisoma kuanzia mwanzo mpaka nifike ufunuo.
 

mi nimeshdwa kusoma!!!
 
Braza kabla ya kutuma ulichoandika ulitakiwa uone wenzio wtaweza kuelewa, shida tupu sasa hata sijui kwa nini nilifunfua post yako
 
Braza kabla ya kutuma ulichoandika ulitakiwa uone wenzio wtaweza kuelewa, shida tupu sasa hata sijui kwa nini nilifunfua post yako

Msamehe unajua cm mpya au yakuazima lazima upate tuition.
Kama kwenye cm ni hivyo cjui akitumia pen itakuwa kichina bajameni!
 
hao madereva hawakupitia veta, kupaki juu ya daraja? hivi tanroads wako wapi?
 
Kikubwa ujumbe umefika, what is writting bana!!:mod:
ni kweli ujumbe umefika lkn akikosea aambiwe, maswala ya wabongo kufichana kuoneana aibu ndo yametufikisha hapa tulipo.
 
so what? Mbona tunaotumia mobile humu ndani tupo wengi sana lakini hatuweki hizo nukta?
Ina maana hata kutumia simu yako hujui, hadi unashindwa kuweka space?

Huwezi jua Kiranja! Labda ni kimeo, kwahiyo waweza kuta nukta peke yake ndo inafanya kazi!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…