Dereva anapatikana

Dereva anapatikana

mbujike

Member
Joined
Mar 8, 2014
Posts
41
Reaction score
13
Habari wana JF, kwa anayehitaji dereva awe ni mtu binafsi, na yasiwe magari ya biashara, anapatikana muda wowote, kwa namba 0789575784,
 
Habari wana jf, kwa anayehitaji dereva awe ni mtu binafsi, na yasiwe magari ya biashara, anapatikana muda wowote, kwa namba 0789575784,

jieleze vzuri uko wap na leseni yako pamoja na elimu yako,mfano mi nko mbogwe nahitaji dereva unaweza
 
Nimekuelewa mkuu, nipo dar es salaam, leseni clas A,B,D, elimu yangu form six
 
Wapo watakuja.
Maana siku hizi madereva wanavyowauza Mabosi wao,kazi kweli.
Ila ujiandae na kazi ya ukuwadi pia,maana nawaona wenzio wanavyotaabika na kutumwa na madem au nyumba ndogo za mabosi wao.Ila hizo ni changamoto ndogo lakini zinawashinda wengi na kuwa wapole
 
Wapo watakuja.
Maana siku hizi madereva wanavyowauza Mabosi wao,kazi kweli.
Ila ujiandae na kazi ya ukuwadi pia,maana nawaona wenzio wanavyotaabika na kutumwa na madem au nyumba ndogo za mabosi wao.Ila hizo ni changamoto ndogo lakini zinawashinda wengi na kuwa wapole

Ni kweli kaka, inatubidi tukubaliane na hali ya maisha hatuna ujanja, tufanye ya tu ambayo mabosi wengi wanayapenda ya kuwatafutia michepuko, nafs haipendi hata kidogo watu wanafanyia njaa tu.
 
4m 6 una omba kaz da kwel ttz la ajira bd kubwa na vp jexh hujaend au ulimaliz cku nying xaxa kwa nn usiombe hata tempo
 
Tempo yenyewe si ndo kama hiyo ndugu yangu, maana unashauriwa siku hz tumia ulichonacho kwanza, na fanya kile ambacho unaweza kukifanya kwanza, maana hao wakubwa wetu wenye profesional ajira pia hawana, sisi itakuwaje? Hata tempo pia kama nitapata nitashukuru zaidi, tatizo nitapata wapi? Nikaona nibora nitafute kazi ya udereva ambayo naiwezea pia, na leseni ninayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom