Dereva anahitajika Dar es Salaam

Dereva anahitajika Dar es Salaam

Kiwengwa

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2011
Posts
1,103
Reaction score
24
Natafuta Dereva
Awe anaishi Kawe, Mbezi au maeneo ya karibu na Mbezi Beach.

Kazi ni ya udereva hapa ndani ya mkoa wa dar es salaam. Na ni wakumtoa bosi nyumbani na kumtembeza kwenye mishemishe zake za mjini na kumrudisha jioni.

Kuna wakati itabidi umrudishe boss usiku kwahiyo ni muhumu uwe na makazi ambayo sio mbali sana na Mbezi Beach.

Awe na leseni ambayo ipo hai na awe mzoefu wa kuendesha gari kwenye jiji la Makonda.

Dereva wa gari ndogo tuu za usafiri.

Tutafutane.
 
Natafuta Dereva
Awe anaishi Kawe, Mbezi au maeneo ya karibu na Mbezi Beach.

Awe na leseni ambayo ipo hai na awe mzoefu wa kuendesha gari kwenye jiji la Makonda.

Tutafutane.
Mshahara bei gani?
 
Natafuta Dereva
Awe anaishi Kawe, Mbezi au maeneo ya karibu na Mbezi Beach.

Awe na leseni ambayo ipo hai na awe mzoefu wa kuendesha gari kwenye jiji la Makonda.

Tutafutane.
Nipo mkuu,naishi hapa kawe ukwamami hapa.
 
Natafuta Dereva
Awe anaishi Kawe, Mbezi au maeneo ya karibu na Mbezi Beach.

Kazi ni ya udereva hapa ndani ya mkoa wa dar es salaam. Na ni wakumtoa bosi nyumbani na kumtembeza kwenye mishemishe zake za mjini na kumrudisha jioni.

Kuna wakati itabidi umrudishe boss usiku kwahiyo ni muhumu uwe na makazi ambayo sio mbali sana na Mbezi Beach.

Awe na leseni ambayo ipo hai na awe mzoefu wa kuendesha gari kwenye jiji la Makonda.

Dereva wa gari ndogo tuu za usafiri.

Tutafutane.
mcheki uyu kwa namba hii +255 719 907 542...anaitwa Joseph na anaishi Kigamboni. Yuko flexible na atakufaa sana tena sana maana nishawahi kufanya nae kazi kwa miezi 4 bila tatizo lolote.
 
mcheki uyu kwa namba hii +255 719 907 542...anaitwa Joseph na anaishi Kigamboni. Yuko flexible na atakufaa sana tena sana maana nishawahi kufanya nae kazi kwa miezi 4 bila tatizo lolote.

Kigamboni ni karibu na Mbezi Beach ehh
 
Fursa hzo wanaume dar changamkeni bs....acheni kukesha na vibukta hvo
 
Natafuta Dereva
Awe anaishi Kawe, Mbezi au maeneo ya karibu na Mbezi Beach.

Kazi ni ya udereva hapa ndani ya mkoa wa dar es salaam. Na ni wakumtoa bosi nyumbani na kumtembeza kwenye mishemishe zake za mjini na kumrudisha jioni.

Kuna wakati itabidi umrudishe boss usiku kwahiyo ni muhumu uwe na makazi ambayo sio mbali sana na Mbezi Beach.

Awe na leseni ambayo ipo hai na awe mzoefu wa kuendesha gari kwenye jiji la Makonda.

Dereva wa gari ndogo tuu za usafiri.

Tutafutane.
Mkuu umepata?
 
mcheki uyu kwa namba hii +255 719 907 542...anaitwa Joseph na anaishi Kigamboni. Yuko flexible na atakufaa sana tena sana maana nishawahi kufanya nae kazi kwa miezi 4 bila tatizo lolote.
Kigamboni Na Mbezi Beach wapi Na wapi?
 
Natafuta Dereva
Awe anaishi Kawe, Mbezi au maeneo ya karibu na Mbezi Beach.

Kazi ni ya udereva hapa ndani ya mkoa wa dar es salaam. Na ni wakumtoa bosi nyumbani na kumtembeza kwenye mishemishe zake za mjini na kumrudisha jioni.

Kuna wakati itabidi umrudishe boss usiku kwahiyo ni muhumu uwe na makazi ambayo sio mbali sana na Mbezi Beach.

Awe na leseni ambayo ipo hai na awe mzoefu wa kuendesha gari kwenye jiji la Makonda.

Dereva wa gari ndogo tuu za usafiri.

Tutafutane.
0674010013 nitafute tuwasiliane
 
Natafuta Dereva
Awe anaishi Kawe, Mbezi au maeneo ya karibu na Mbezi Beach.

Kazi ni ya udereva hapa ndani ya mkoa wa dar es salaam. Na ni wakumtoa bosi nyumbani na kumtembeza kwenye mishemishe zake za mjini na kumrudisha jioni.

Kuna wakati itabidi umrudishe boss usiku kwahiyo ni muhumu uwe na makazi ambayo sio mbali sana na Mbezi Beach.

Awe na leseni ambayo ipo hai na awe mzoefu wa kuendesha gari kwenye jiji la Makonda.

Dereva wa gari ndogo tuu za usafiri.

Tutafutane.
Huyo boss ni me au ke?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom