ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,010
Siku huyu akirudi CCM ni balaa. Jamaa ni Genius sema wanamuogopa sana ana sifa zote za kuwa Rais wa nchii hii na ni mzalendo
Tusisahau pia jinsi ambavyo amekuwa akifanyiwa vituko na vikwazo vya maisha na system ili kumvuruga lakini wapiiii bwana, Jamaaa liko Imara sana
Ladies and gentelemen, nawaletea kwenu MTEMI Deo Kisanduuuuuuu.
Tusisahau pia jinsi ambavyo amekuwa akifanyiwa vituko na vikwazo vya maisha na system ili kumvuruga lakini wapiiii bwana, Jamaaa liko Imara sana
Ladies and gentelemen, nawaletea kwenu MTEMI Deo Kisanduuuuuuu.