Mwenyekiti wa CCM mkoani Njombe, Deo Sanga amesema Humphrey Polepole amechanganyikiwa kutokana na utendaji mzuri wa Rais Samia Suluhu ambao hakuutegemea.
Akiongea leo Septemba 05, 2025, mjini Njombe, katika kampeni za mgombea wa Urais wa CCM, aliyekuwa Mbunge wa Makambako, Deo Sanga, amemkosoa vikali kada wa CCM, Humphrey Polepole kwa ukosoaji anaoufanya kwa CCM, na mgombea wa Urais, Samia Suluhu Hassan.
"Hata watu Mheshimiwa Mwenyekiti wanaokutukana wewe ni kuchanganyikiwa, akiwepo huyo Polepole amechanganyikiwa Mheshimiwa Mwenyekiti. Ulipomteua kuwa Mbunge,yeye ni miongoni waliyokuwa anasema huyu mama miradi hii mikubwa hataimaliza.Amekuta miradi yote kwisha umemaliza na unaendelea nayo vizuri na kwa sababu alikuwa na mipango mingine sasa amechanganyikiwa."
Nadhani Sanga ndo kachanganyikiwa, kiasi hata kumuelewa HPP ni ngumu. Aendelee kuimba mama anaupiga mwingi tu. Ndo anachoweza kwenye Akili zake, mengine awaachie wenye uwezo wanamuelewa Balozi vizuri, Sanga hata darasani ilikuwa vigumu kuwaelewa walimu wake tangia akiwa vidudu.
Mwenyekiti wa CCM mkoani Njombe, Deo Sanga amesema Humphrey Polepole amechanganyikiwa kutokana na utendaji mzuri wa Rais Samia Suluhu ambao hakuutegemea.
Akiongea leo Septemba 05, 2025, mjini Njombe, katika kampeni za mgombea wa Urais wa CCM, aliyekuwa Mbunge wa Makambako, Deo Sanga, amemkosoa vikali kada wa CCM, Humphrey Polepole kwa ukosoaji anaoufanya kwa CCM, na mgombea wa Urais, Samia Suluhu Hassan.
"Hata watu Mheshimiwa Mwenyekiti wanaokutukana wewe ni kuchanganyikiwa, akiwepo huyo Polepole amechanganyikiwa Mheshimiwa Mwenyekiti. Ulipomteua kuwa Mbunge,yeye ni miongoni waliyokuwa anasema huyu mama miradi hii mikubwa hataimaliza.Amekuta miradi yote kwisha umemaliza na unaendelea nayo vizuri na kwa sababu alikuwa na mipango mingine sasa amechanganyikiwa."
Jamaa kambinya ili asiendelee na hiyo hoja ki protoco hoja za polepole sio za kujibiwa kienyeji hivyo kwenye majukwaa jikite kwenye uchaguzi polepole anakuja vipi kwenye jukwaa kubwa hivyo mbele ya mwenyekiti wa chama unaleta ishu za polepole nadhani lazima amewekwa kitimoto huyu na sidhani kama atalopoka tena
Jamaa kambinya ili asiendelee na hiyo hoja ki protoco hoja za polepole sio za kujibiwa kienyeji hivyo kwenye majukwaa jikite kwenye uchaguzi polepole anakuja vipi kwenye jukwaa kubwa hivyo mbele ya mwenyekiti wa chama unaleta ishu za polepole nadhani lazima amewekwa kitimoto huyu na sidhani kama atalopoka tena
Mwenyekiti wa CCM mkoani Njombe, Deo Sanga amesema Humphrey Polepole amechanganyikiwa kutokana na utendaji mzuri wa Rais Samia Suluhu ambao hakuutegemea.
Akiongea leo Septemba 05, 2025, mjini Njombe, katika kampeni za mgombea wa Urais wa CCM, aliyekuwa Mbunge wa Makambako, Deo Sanga, amemkosoa vikali kada wa CCM, Humphrey Polepole kwa ukosoaji anaoufanya kwa CCM, na mgombea wa Urais, Samia Suluhu Hassan.
"Hata watu Mheshimiwa Mwenyekiti wanaokutukana wewe ni kuchanganyikiwa, akiwepo huyo Polepole amechanganyikiwa Mheshimiwa Mwenyekiti. Ulipomteua kuwa Mbunge,yeye ni miongoni waliyokuwa anasema huyu mama miradi hii mikubwa hataimaliza.Amekuta miradi yote kwisha umemaliza na unaendelea nayo vizuri na kwa sababu alikuwa na mipango mingine sasa amechanganyikiwa."
Kwa sababu amewaambia ukweli. Yule ambaye hawaambii ukweli hajachanganyikiwa.......na yule anayeteka watu...huyo ABDUL SULUHU HASSAN hajachanganyikiwa? Au unamaanisha nini wewe chawa wa mama?