Deo Kisandu akacha siasa

Atakwambia mbona Nyerere alikuwa Mwalimu.....

Alikuwa Mwalimu mwenye akili ambaye hakusukumwa na tamaa za kutajirikia kwenye siasa. Hawa wanaingia leo, kesho wanataka wawe na nyumba na magari mawili-mawili. Siasa ni utumishi wa umma. Utumishi wa umma ni kukubali maisha ya kiasi.
 

Huyu dogo hawezi kujitoa mhanga we rudi shule kafundishe.
 
Mwehu, huyu jamaa ,leo bado a nafikiri ana heshima hata hapa JUKWAANI kutuandikia ujinga huu......we are tired ......
 
"Suala la muundo wa muungano si la ccm wala ukawa, ni letu sote".

Kauli hiyo ni ya kijinga kabisa! Inawezekana tatizo kubwa ni wengi kutokuelewa maana halisi ya "rasimu ya katiba ya wananchi"

Katika utaratibu uliotumika, maoni ya wananchi yaliyokusanywa na Warioba, ambayo ndo msingi wa upatikanaji wa katiba yetu mpya, yanatuwakilisha sisi "sote".

Kusema suala la muungano/katiba mpya ni "letu sote" na si la ccm wala ukawa, Inaonyesha kutokuuelewa huu mchakato wa katiba mpya!

Nafasi ya UKAWA si kuepeleka maoni yao kwenye bunge la katiba vs CCM,, bali kuisimamia rasimu ya katiba ambayo Inawakilisha maoni yetu sisi wananchi kuhusiana na katiba mpya!

Pole sana Kisandu! Mlijiingiza kwenye siasa kwa maslahi binafsi.Ukombozi wa nchi siyo starehe! Ulizia Fidel Castro et al, fuatilia maisha ya wapigania uhuru na watetezi wa wanyonge na wapigania haki uone kama walihudumiwa kila kitu!
 
Huyu Kisandu ni msaka tonge kupitia siasa. CCM hatuhitaji watu wa dizaini hii.

Mnamkataa jembe huoni anatetea serikali 2 ambayo ndo msimamo wa chama chetu cha magamba. Huoni alivyofanya upembuzi yakinifu dhidi ya udhaifu wa upinzani nchini, huoni alivotukana ukawa lakini bado unamkataa!!?
 
Bila shaka vijana wenzako waliochepuka na kuacha njia kuu watapokea ushauri wako kwa mikono miwili.
 
Anasubiri kwenda ACT I knew this was coming alipoanza porojo juzi.

Sasa mbona alikuwa anaangaika kama mtu anayeoga nje,
si unafiki wa wazi kabisa unaonekana, hicho chama cha ACT naona patachimbika maana sijuhi nani atakuwa kiongozi na nani atakuwa mwanachama wa Kawaida

Hapo ndio kwa anagalau unaweza kukubaliana na CHADEMA kuwa kulikuwa na wanafiki ndani ya chama, maana mtu hata hajatulia ndani ya NCCR tayari nao ni wabaya
 
Hizi dalili za kwenda ccm....nenda angalau ukapate tonge kama stela na shonza


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
 
Used condoms zinajisalimisha duh!!!!

cc Mtella Mwampamba, Juliana Shonza na Chriss Lukosi..nyie mtajisalimisha lina.??
Jose na Kisandu yamewashinda!!
 
Hii dhambi yako ya usaliti iliyokutafuna , ITAFIKA HADI KWA WANAO , USALITI NI LAANA ENDELEVU !
 
Inatuhusu nini sisi wewe kujivua uanachama?
 
Njaa ndo inakusumbua wewe! kama umeshindwa kazi si unavua tu kamba, mbwembwe za nini? UKAWA is the collision of the willing. Kwa hiyo unataka na Mrema ambaye katakata yupo CCM avutwe kwa nguvu kwenda UKAWA bila kuona umuhimu wake. Wewe nenda huko ulikoahidiwa buku saba saba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…