uzio usio onekana
JF-Expert Member
- Apr 21, 2019
- 877
- 2,779
hivi ni nani anaye jua uhalisia na uhakika wa deni la taifa,
kwa sababu wanasema ndani ya miaka mitano deni la taifa limeongezeka kwa karibia Trion 40
hizo pesa ni nyingi sana kiasi kwamba haziendani maendeleo yalipo Tanzania,
na ninajiuliza ilikuwaje rais wa bukinafaso aliweza kulipa deni la taifa kwa muda mchache vile,
nikaja nikagundua lazima traore baada ya kufanya ukaguzi akagundua sehemu kubwa ya deni la taifa ilikuwa ni fake, na hiyo inaweza ikawa sawa na Tanzania unaweza ukute 50% ya deni la taifa ni riba.
na inawezekana kabisa kuna viongozi ambao sio waaminfu yani wacheza madili wakishirikiana na wakina rostam nao wamepachika madeni yao ya uongo kupitia mabenki ya nje kwahiyo hela zinaingia kila mwezi kwenye acaunt zao, na inawezekana kabisa deni letu la taifa tukipata wazalendo wakweli hilo deni ukilicalculator linaweza lisifike Trion 30 ukitoa riba nk.
kwa sababu wanasema ndani ya miaka mitano deni la taifa limeongezeka kwa karibia Trion 40
hizo pesa ni nyingi sana kiasi kwamba haziendani maendeleo yalipo Tanzania,
na ninajiuliza ilikuwaje rais wa bukinafaso aliweza kulipa deni la taifa kwa muda mchache vile,
nikaja nikagundua lazima traore baada ya kufanya ukaguzi akagundua sehemu kubwa ya deni la taifa ilikuwa ni fake, na hiyo inaweza ikawa sawa na Tanzania unaweza ukute 50% ya deni la taifa ni riba.
na inawezekana kabisa kuna viongozi ambao sio waaminfu yani wacheza madili wakishirikiana na wakina rostam nao wamepachika madeni yao ya uongo kupitia mabenki ya nje kwahiyo hela zinaingia kila mwezi kwenye acaunt zao, na inawezekana kabisa deni letu la taifa tukipata wazalendo wakweli hilo deni ukilicalculator linaweza lisifike Trion 30 ukitoa riba nk.