Denda limeniponza

Tatizo huwa hamtaki kumsikiliza MTU hataki nini, mwenyew meno yangu mabovu nimeyaziba na cementi nimesota whole day kwa doctor , nikikwambia denda ctaki elewaa, maana meno yangu yakibongonyokaa , no relationship again.Huyo Dada maybe alishawah pata ajari meno yakatokaa na hayo aliyonayo n bandia, so listen wat ur partner ideas.
 
Sio vizuri kupost mada za uongo ambazo watu wazima na akili zao wanakosa hata cha kuchangia na pia kuboeka baada ya kusoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…