LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,120
- 27,126
Walahi Tz tuna watoto wakali. Jana ile faulo ya mwisho ambayo watu wengi walishangilia wakidhani penati alionyeshwa kwa screen Dada mzuri mmoja chotara akinyanyuka kushangilia akidhani penati.
Alikuwa amevaa jezi ya Tanzania. I say personally nilimuelewa sana Yule Dada na sikuwahi kuwaza kama Tz tuna watoto wakali kama Yule..
Walahi kama ningekuwa uwanjani Jana halafu nikajua uwepo wa mdada mrembo kama Yule ningekomaa nipige bao ili kumfurahisha mtoto mzuri kama Yule.
Kama kuna mdau anamjua Yule mdada plz let me know plz nimtafute .
Mtoto Mashaalaah.
Najua atakuwa anaishi Sauzi walahi ntachukua hata basi Dar Tunduma nivuke boda Nakonde nichukue basi to Lusaka then Lusaka Jo'burg ..
Alikuwa amevaa jezi ya Tanzania. I say personally nilimuelewa sana Yule Dada na sikuwahi kuwaza kama Tz tuna watoto wakali kama Yule..
Walahi kama ningekuwa uwanjani Jana halafu nikajua uwepo wa mdada mrembo kama Yule ningekomaa nipige bao ili kumfurahisha mtoto mzuri kama Yule.
Kama kuna mdau anamjua Yule mdada plz let me know plz nimtafute .
Mtoto Mashaalaah.
Najua atakuwa anaishi Sauzi walahi ntachukua hata basi Dar Tunduma nivuke boda Nakonde nichukue basi to Lusaka then Lusaka Jo'burg ..