mbegubora29
JF-Expert Member
- Mar 14, 2015
- 483
- 294
Fanya ufanyavyo mfumo wa kidemokrasia hauwezi kuwakomboa wananchi kutokana na shida walizonazo. Kwanini siuamini? Huu mfumo nimejarbu kuutumia katika familia yangu sijafaulu.
Yaani iko hivi Mimi ndo baba niliruhusu demokrasia katka chakula cha usiku ila niliishia kuchanganyikiwa mwisho nikatoa maamuzi kama baba basi pakaliwa,
NB: Ila tofauti yangu sikuikemea wala kuitukana familia yangu, sijaiteka na hata wale ambao hawakuridhika niliwafariji na wote baada ya kushiba walinielewa ila maendeleo kwa kile nilichojaaliwa nawahudumia!
Yaani iko hivi Mimi ndo baba niliruhusu demokrasia katka chakula cha usiku ila niliishia kuchanganyikiwa mwisho nikatoa maamuzi kama baba basi pakaliwa,
NB: Ila tofauti yangu sikuikemea wala kuitukana familia yangu, sijaiteka na hata wale ambao hawakuridhika niliwafariji na wote baada ya kushiba walinielewa ila maendeleo kwa kile nilichojaaliwa nawahudumia!