johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Sakata la tsh milioni 600 zinazodaiwa hazijulikani zilipo limechukua sura mpya baada ya RC wa Mbeya mh Homera kusema fedha nhizo walizihamishia kata nyingine baada ya kugundua shule ya sekondari Luhanga imejengwa kwenye hifadhi.
RC Homera amesema huko zilikohamishiwa zimeenda kutumika kihalali.
Naye DED wa Mbarali mh Kingwalo amesema fedha zile zimepokelewa na shule ya Luhanga lakini madarasa wameenda kujenga katika kata nyingine iliyo salama zaidi.
Source: ITV habari
RC Homera amesema huko zilikohamishiwa zimeenda kutumika kihalali.
Naye DED wa Mbarali mh Kingwalo amesema fedha zile zimepokelewa na shule ya Luhanga lakini madarasa wameenda kujenga katika kata nyingine iliyo salama zaidi.
Source: ITV habari