Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,257
- 23,039
Nimeandika kwa kiswahili chepesi sana. Nacho hujaweza kukielewa? Hapo sasa ndo huwa nalaumu Elimu ya Tanzania..nimeandikaa kiswahili chepesi bado hujaelewa? Kwa hiyo tunaponunua decoder wanaweka remote mbovu? Hiyo ndo remote ya kwanza. Hizi nyingine mbili nmenunua kwa tsh 25,000 kila moja. Ni hovyo hovyo tu.king'amuzi cha azam kina aina mbili ya remote, aina ya kwanza ni remote ngumu na bora ambazo zinauzwa elfu 20 elfu 25 kama sijakosea.
aina ya pili ni remote nyepesi ambazo unapewa bure kama replacement endapo utarudisha remote iliyoharibika.
wewe bila shaka unatumia romote uliyopewa bure.
Ndo zilivyo yaani hazijielewi kabisa. Inaweza ikazima au ikaongeza sauti.rimoti ya azam ukielekeza ibadili chanel inazima TV kbs manyinya
Nimeandika kwa kiswahili chepesi sana. Nacho hujaweza kukielewa? Hapo sasa ndo huwa nalaumu Elimu ya Tanzania..nimeandikaa kiswahili chepesi bado hujaelewa?.
Hebu tuwekee picha mkuu, tuondokane na kero hiiUsihangaike nao, nunua remoti ya star times ile nyeupe ule maisha, zinaingiliana na hutopata tabu hiyo tena
Hivyo rimoti unayopewa ununuapo king'amuzi ni ya bure! Punguza ujuaji kwani tatizo la ving'amuzi vya Azam ni kubwa kuliko vya vituo vingine na vimekuwa vikilalamikiwa sana, hata madishi ya Azam hayakawii kuoza.king'amuzi cha azam kina aina mbili ya remote, aina ya kwanza ni remote ngumu na bora ambazo zinauzwa elfu 20 elfu 25 kama sijakosea.
aina ya pili ni remote nyepesi ambazo unapewa bure kama replacement endapo utarudisha remote iliyoharibika.
wewe bila shaka unatumia romote uliyopewa bure.
Ujinga si tatizo huwa unatoka. Wewe naamini Unaabudu Dini ya Upumbavu. 🤣na mimi nimekuandikia kwa kiswahili chepesi sana,hujanielewa?....shuleni ulienda kusomea ujinga?.
Jamaa kilaza huyo hata hajielewi ni wale watu ambao wanakuwa na Upumbavu kichwani halafu wanaamini wanajua.Hivyo rimoti unayopewa ununuapo king'amuzi ni ya bure! Punguza ujuaji kwani tatizo la ving'amuzi vya Azam ni kubwa kuliko vya vituo vingine na vimekuwa vikilalamikiwa sana, hata madishi ya Azam hayakawii kuoza.
Nenda kwa maajenti wa Azsm wanaofanya matengenezo ukaone jinsi vibovu vilivyojaa.
Hovyo sana. Hawa jamaaa sijui wanafikiriaje... Vi remote vya kipuuzi vibovu utadhani vya kutolewa bure.Rimoti za Azam ni za hovyo,nilishawahi kuleta Uzi humu,hazina kiwango
Kabisa aisee.... Yaani nadhani sasa ni kuifungia tu kabatini. Hovyo sana.Azam ni decoder ya hovyo kabisa, haiendani na thamani ya pesa mteja anayolipa.
Vidudu watu wamo wengi humu, wao kila kitu wanajifanya wanajua lakini hawajui kisa cha Azam kugharamia matengenezo ya ving'amuzi vyake, vinginevyo angekosa wateja.Jamaa kilaza huyo hata hajielewi ni wale watu ambao wanakuwa na Upumbavu kichwani halafu wanaamini wanajua.
Vibovu sana. Nina DSTV toka 2004 Dish lile lile nlibadili decoder tu coz walileta models nyingine.Vidudu watu wamo wengi humu, wao kila kitu wanajifanya wanajua lakini hawajui kisa cha Azam kugharamia matengenezo ya ving'amuzi vyake, vinginevyo angekosa wateja.
Ninayo ya Startimes ya kwanza kabisa zilipoingia, mpaka leo lakini ni kama mpya na rimoti yake ileile, lakini cha Azam kwanza dishi halijamaliza miaka miwili limeoza na rimoti inamakengeza, nilitoa taarifa wakasema ninunue nyingine! King'amuzi wakatengeneza bure!Vibovu sana. Nina DSTV toka 2004 Dish lile lile nlibadili decoder tu coz walileta models nyingine.
Mimi ilikaa wiki 1 tu mfuniko ukawa haufungi..na haijaanguka wala nn nikaweka soltape...Nimeshabadilisha remote mara 3. Remote bado mpya unabonyeza Menu yenyewe ina change program. Unaongeza sauti sometimes ina change channel.
Unarudi Back inakupeleka kwenye menu. Unaweza bonyeza button hata mara tatu isi respond na hapo umeielekeza kabisa karibu na decoder siyo kwamba ipo mbali.
Inanikwaza sana na inakuwa kero. Huwezi fanya kitu once. Nliwasiliana nao wakaniambia nitakuwa nimeharibu nikanunue nyingine hii sasa ..nikya tatu. Bado haijielewi.
Na wateja tukisema mnaleta habari zenu utadhani sisi sote ni wale wengine. Maana hili mimi linanikwaza ukilinfanisha hawa jamaa nawapigia debe sababu ni wa hapa hapa lakini sasa tusifuge ubovu. Mnanilazimisha niendelee kitumia tu DSTV.