Dear future wife...

Hujaeleweka unahisi mimi ni demu?
 
Dear FUTURE SON,
......................................
........................................
......................................

your lovely Dad!
 
Tamu kusikia mtu akisema mwanzo ,msg kama hii inakufanya unaingia Mazima,mziki wake utauwona pale utakapo maliza kusema I do, utasikia unadhani kila siku bado tuna tongozana sasa ujue wewe ni mke usitegemee yale mapenzi yazamani,unabaki uso mduuuuchuu..
 
So lovely words
 
Naandika kwa hisia pia Maisha ya ndoa na malengo yake ni kama Maisha tu ya kuzaliwa mpaka kufa,,Hakuna mtu akiwa mdogo ukimwambia hiki hutatimiza anaweza kukubali coz they know bado kuna muda but when its comes to reality huanza punguza expectations zao za utoto kama alipanga awe Dr anajikuta kashindwa na Ndoa ni hivyo ,Unapanga nitaowa bint mrefu mzuri na sifa kibao but Unajikuta Umeowa tofauti hata kama sura na urefu ndio yeye he? Tabia Unajikuta hiyo ahadi yakusema nitakupenda milele na kukulinda zinasahalika Maisha ya ndoa ni Fumbo jingine ngumu mungu kaliweka Japo wachache Wanaishi Ndoto zao ,Ila Wengi ni Ke na sio Me
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…