Dayna Nyange azua gumzo na picha za vichupi mtandaoni, adai zinamsaidia kimuziki

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,058
Mwanamuki kutokea hukooo mji kasoro bahari, Dayna Nyange alizua gumzo na vipicha vya nusu uchi anavyotupiaga mtandaoni ila alipoulizwa na mtangazaji wa EATV alidai picha hizo zinamsaidia sana kimuziki kwa kuwa mashabiki wanapenda kuona vitu hivyo
Pia alipoulizwa Kalah Jeremiah ambaye alikuwa mtu wake wakaribu anamchukuliaje mwanamuziki huyo alidai hamjui msanii huyo na watangazaji waache kumpa kiki

 
BRAZA....
Kama unajihisi umeboreka na upo kwenye daladala alafu hamna anaekujali wala kukusemesha....
DO THIS...
Chukua sim yako jifanye unapga namba flan afu sema maneno haya.....
"Samahani mpenzi,siwezi kuja kwako maana nipo kwenye daladala moja na mmeo...I LOVE U"
THEN zuga unakata simu....
I swear bro...
Kuna wanaume zaid ya saba watakukazia sura lakini Kuna mjnga lazma atakuuliza
"Samahani kaka,naomba niangalie namba inaishia na ngapi?"⁉
 
Back
Top Bottom