Dawa za mapenzi zipo kweli

Dawa za mapenzi zipo kweli

Kizoda

Senior Member
Joined
Mar 5, 2022
Posts
130
Reaction score
302
Ndugu zangu wanasemaga usilolijua ni kama usiku wa Giza ni Kweli

Mimi ni mmoja ya watu ambao walikuwa hawaamini saana ushirikana kama upo katika mapenzi
Ukweli ni kwamba ushirikana upo Tena saana Kuna watu wanajua vitu bwana dah

Kuna rafiki yangu ambaye alikuwa ananishauria niende kwa mganga baada ya demu fulani hivi ambaye nilipendana naye alafu akala vitu vyangu Bila Mimi kunyandua bwana alafu kulitokea tatizo fulani mtoto akanipa stop nilijaribu kumrudisha mtoto alipiga Chini Kweli Kweli

Sasa Jana nilikwenda kwa Jamaa fulani Ivi dah Jamaa aliomba jina la mtoto Na picha yake tu alafu akasema ni Rudi nyumbani nikiona matokeo ndo nitarudi kumlipa pesa zake
Leo asubuhi mtoto amenitafuta mwenyewe

Yaani APA Na Baki Na maswali kichwani
Hivi ni dawa Kweli au mganga kanitongozea mtoto maana zamani mtoto alikuwa amenipotezea kinoma ila cha ajabu Leo tulivyo onana aliniambia eti alikuwa ana ni miss saana Na wakati tulikuwa tunaonana Kila siku
 
Pesa huna
Mvuto huna
Sound huna
Elimu ya kujiongeza huna

Dawa atakayokupa mganga ni kukujengea kujiamini nayo itadunda tu

Kwa sababu akili huna
 
ONYO KWA WAGENI :Matapeli wapo mpaka jamiiforum kuwa makini.
Wanapigwa kweli kweli.Kuna kipindi nilikuwa nachangia thread ya jamaa nikasema kwa utani najua mganga mwenye uwezo wa kutoa utajiri. Nifuatwa na watu wengi PM wakiomba niwaunganishe. Hata huyu atapata wajinga wa kula. By the way kama uchawi ni sayansi ya mwafrika ya tangu karne inakuwaje mganga aombe picha ya mtu wakati enziu hizo hakukuwa na picha.
 
Ili ni bango la biashara au ndio promo
Ndugu zangu wanasemaga usilolijua ni kama usiku wa Giza ni Kweli

Mimi ni mmoja ya watu ambao walikuwa hawaamini saana ushirikana kama upo katika mapenzi
Ukweli ni kwamba ushirikana upo Tena saana Kuna watu wanajua vitu bwana dah
Kuna rafiki yangu ambaye alikuwa ananishauria niende kwa mganga baada ya demu fulani hivi ambaye nilipendana naye alafu akala vitu vyangu Bila Mimi kunyandua bwana alafu kulitokea tatizo fulani mtoto akanipa stop nilijaribu kumrudisha mtoto alipiga Chini Kweli Kweli
Sasa Jana nilikwenda kwa Jamaa fulani Ivi dah Jamaa aliomba jina la mtoto Na picha yake tu alafu akasema ni Rudi nyumbani nikiona matokeo ndo nitarudi kumlipa pesa zake
Leo asubuhi mtoto amenitafuta mwenyewe
Yaani APA Na Baki Na maswali kichwani
Hivi ni dawa Kweli au mganga kanitongozea mtoto maana zamani mtoto alikuwa amenipotezea kinoma ila cha ajabu Leo tulivyo onana aliniambia eti alikuwa ana ni miss saana Na wakati tulikuwa tunaonana Kila siku
 
Ili ni bango la biashara au ndio promo
Ndugu zangu wanasemaga usilolijua ni kama usiku wa Giza ni Kweli

Mimi ni mmoja ya watu ambao walikuwa hawaamini saana ushirikana kama upo katika mapenzi
Ukweli ni kwamba ushirikana upo Tena saana Kuna watu wanajua vitu bwana dah
Kuna rafiki yangu ambaye alikuwa ananishauria niende kwa mganga baada ya demu fulani hivi ambaye nilipendana naye alafu akala vitu vyangu Bila Mimi kunyandua bwana alafu kulitokea tatizo fulani mtoto akanipa stop nilijaribu kumrudisha mtoto alipiga Chini Kweli Kweli
Sasa Jana nilikwenda kwa Jamaa fulani Ivi dah Jamaa aliomba jina la mtoto Na picha yake tu alafu akasema ni Rudi nyumbani nikiona matokeo ndo nitarudi kumlipa pesa zake
Leo asubuhi mtoto amenitafuta mwenyewe
Yaani APA Na Baki Na maswali kichwani
Hivi ni dawa Kweli au mganga kanitongozea mtoto maana zamani mtoto alikuwa amenipotezea kinoma ila cha ajabu Leo tulivyo onana aliniambia eti alikuwa ana ni miss saana Na wakati tulikuwa tunaonana Kila siku
 
Hii ni CHAI yaani mganga anaomba picha, that's means ingekuwa enzi hizo matumiz ya Camera hayajaenea sana Tz huyo mganga asingeweza kukusaidia
 
Mganga wako ametumia miti miwili ya hanjali na fanjali katika kutengeneza moshi wa miujiza ambao wakati unaongea nae moshi ulikuingia mwilini kupitia pua yako, moshi huo ulkuwa na kazi ya kutengneza mvuto na kumfuta kumbukumbu huyo mwanamke kupitia haiba yako. Any way its magic over magice .
 
Mganga wako ametumia miti miwili ya hanjali na fanjali katika kutengeneza moshi wa miujiza ambao wakati unaongea nae moshi ulikuingia mwilini kupitia pua yako, moshi huo ulkuwa na kazi ya kutengneza mvuto na kumfuta kumbukumbu huyo mwanamke kupitia haiba yako. Any way its magic over magice .
Shusha madini Ankoli
 
Any way utapeli upo na uganga pia upo kweli.na uchawi vile vile.......upo uchawi unafanyiwa kuachanishwa na mtu mnae pendana.upo uchawi mtu unarogwa usurudi kijijin kwenu uliko zaliwa wala kujenga kwenu.... Mtoa mda wala simshangai nA watu watakaompinga ni hawajui tu dunia ilivyo na maajabu yake...

Dada yangu alishatuumiwa kuchukua mke wa mtu akafanyiwa ndumba na mwenye mume wake ali bleed miezi mitatu mfululizo

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 
Pesa huna
Mvuto huna
Sound huna
Elimu ya kujiongeza huna

Dawa atakayokupa mganga ni kukujengea kujiamini nayo itadunda tu

Kwa sababu akili huna
Mkuu usibishe usichokijuwa,

Dawa za mapenzi zipo usione mtu amejinyonga au ameua sababu ya mapenzi,

Mganga anavuruga akili ya muhusika iwe,
( mwanamke au mwanaume).

Waganga wapo na matapeli pia wapo,
Tena siku hizi 80% ya mahusiano bila ndumba utateswa saana.
 
Back
Top Bottom