Ndugu zangu wanasemaga usilolijua ni kama usiku wa Giza ni Kweli
Mimi ni mmoja ya watu ambao walikuwa hawaamini saana ushirikana kama upo katika mapenzi
Ukweli ni kwamba ushirikana upo Tena saana Kuna watu wanajua vitu bwana dah
Kuna rafiki yangu ambaye alikuwa ananishauria niende kwa mganga baada ya demu fulani hivi ambaye nilipendana naye alafu akala vitu vyangu Bila Mimi kunyandua bwana alafu kulitokea tatizo fulani mtoto akanipa stop nilijaribu kumrudisha mtoto alipiga Chini Kweli Kweli
Sasa Jana nilikwenda kwa Jamaa fulani Ivi dah Jamaa aliomba jina la mtoto Na picha yake tu alafu akasema ni Rudi nyumbani nikiona matokeo ndo nitarudi kumlipa pesa zake
Leo asubuhi mtoto amenitafuta mwenyewe
Yaani APA Na Baki Na maswali kichwani
Hivi ni dawa Kweli au mganga kanitongozea mtoto maana zamani mtoto alikuwa amenipotezea kinoma ila cha ajabu Leo tulivyo onana aliniambia eti alikuwa ana ni miss saana Na wakati tulikuwa tunaonana Kila siku
Mimi ni mmoja ya watu ambao walikuwa hawaamini saana ushirikana kama upo katika mapenzi
Ukweli ni kwamba ushirikana upo Tena saana Kuna watu wanajua vitu bwana dah
Kuna rafiki yangu ambaye alikuwa ananishauria niende kwa mganga baada ya demu fulani hivi ambaye nilipendana naye alafu akala vitu vyangu Bila Mimi kunyandua bwana alafu kulitokea tatizo fulani mtoto akanipa stop nilijaribu kumrudisha mtoto alipiga Chini Kweli Kweli
Sasa Jana nilikwenda kwa Jamaa fulani Ivi dah Jamaa aliomba jina la mtoto Na picha yake tu alafu akasema ni Rudi nyumbani nikiona matokeo ndo nitarudi kumlipa pesa zake
Leo asubuhi mtoto amenitafuta mwenyewe
Yaani APA Na Baki Na maswali kichwani
Hivi ni dawa Kweli au mganga kanitongozea mtoto maana zamani mtoto alikuwa amenipotezea kinoma ila cha ajabu Leo tulivyo onana aliniambia eti alikuwa ana ni miss saana Na wakati tulikuwa tunaonana Kila siku

