Sijajua namna ya kutumia huduma ya PM,nifahamishe
viazi vitamu,asali asubuhi na jioni vijiko japo 2x2 ,mazoezi japo ya nusu saa,usivute,usinywe pombe,kubwa sana muombe mungu msamaha kwa siri,ukimuomba akuponye,inshaallah atakuponya,yy ni daktari wa madaktariKula balanced diet. kunywa maji mengi. kula mbogamboga everyday viazi vikuu, bitroot, yoghout + asali. utaongeza % ya kinga. Dawa bado sana. Mwingine anayejua vyakula vya kuongeza CD4 aongeze kwenye list
NB.l'm not ill
Mi sio ngonjwa,nilitaka kujua
Sijajua namna ya kutumia huduma ya PM,nifahamishe