Chukua kitunguu maji then kisage au kisugue kwenye kile cha sugulia nyanya... Halafu kichuje kwenye chujio then jipake sehemu unayota iote nywele... Au unaweza ukapaka bila kuchuja lakn kitunguu huwa na tabia ya kung'ang'ania kwenye nywele kikikauka kwaiyo kama haita kusumbua basi poa.. Kaa nusu saa then jisafishe na maji.. Ila kama harufu itakusumbua ya kitunguu unaweza osha na shampoo.. Pia kama utakua na muda mwingi unaweza paka ukaa nayo hata siku nzima au masaa kwa week unaweza paka mara moja Kwa week ila haina limitation unaweza paka hata kila siku..
After two weeks come with feedback... & 100% it will be +