Tumbo lina maana pana sana kwa kiswahili. Kama ni tumbo la uzazi huna haja ya kufanya lolote,unachohitaji ni usafi wako wa kawaida na kubadilisha pads kwa muda wake. Usitawaze kwa kutia maji au vidole ndani ya uke kwani unaingiza germs ndani ya kizazi chako. Kama ni tumbo la chakula kama unahisi au una dalili za minyoo tafuta dawa za minyoo zipo over the counter katika pharmacy.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.