Dawa ya kusafisha masofa

sherida

Senior Member
Joined
Feb 15, 2017
Posts
133
Reaction score
194
Habari zenu wakuu naombeni anayeweza kunielekeza dawa ya kusafisha sofa za kitambaa .Nasikia kariakoo zipo Ila ndio sijui nikienda ntaulizia je na jina lake silijui,na he tuitumiaje. Ntashukuru kwa msaada wenu
 
Inauzwa 5000 tu ni kama spray tu huwa naitumia.
Nenda kariakoo mtaa wa Agrey na Likoma (kule kwenye maduka ya vifaa vya simu) kwenye hayo maduka ndio wanauza maana inatumika pia kusafishia vioo, vitu kama TV nk

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…